Gavana Charity Ngilu alifungua rasmi kampuni kubwa ya kutengeneza nguo Jumamosi Octoba 27 katika kaunti ya Kitui
Kulingana na gavana wa Kitui Charity Ngilu, kampuni hiyo ya Kitui Textile Centre (KICOTEC) ambayo ni ya kwanza kuzinduliwa katika kaunti hiyo inatarajiwa kuwapatia vijana ajira.
Habari Nyingine: Wakwe za Rais Uhuru walikuwa wapinzani wakuu wa babake Raila Odinga

Habari Nyingine: Mavazi ya walinzi wa pasta mrembo, Lucy Natasha, yawashangaza Wakenya
" Leoa nimefurahia kufungua rasmi kampuni ya kutengeneza nguo ya Kitui Textile Centre ambayo ni ya kwanza kuzinduliwa na serikali ya kaunti kwa nia ya kuwapa vijana wetu ajira, kukuza uchumi wa kaunti ya Kitui na mambo mengine muhimu," Ngilu alisema.
Tuma neno ‘NEWS’ kwa 40227 ili kupata habari muhimu pindi zinapochipuka
Habari Nyingine: Jacque Maribe amtaja Mike Sonko katika kesi ya mauaji ya Monica Kimani
Mradi huo umewafurahisha wakazi wengi ambao baadhi yao waliweza kutoa maoni yao kupitia mtandao wa kijamii wa Facebook.
Habari Nyingine: Watangazaji 12 tajika wa kike ambao mapenzi yao yaliporomoka machoni petu
Kulingana na mdhibiti wa bajeti mwaka wa 2018/2019 ya kaunti ya Kitui, serikali ya kaunti hiyo ilitumia KSh 1.08 bilioni kampuni hiyo.
Read: ENGLISH VERSION
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri: mwangi.muraguri@tuko.co.ke Tazama habari zaidi kutoka TUKO TV
Subscribe to watch new videosChanzo: TUKO.co.ke
ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2Bvzmeinmdibn1yhJBmnpqukaOubq%2FHmqmirKliu6i1y65kmp6lo7S2rYykmKaopaO2brfUm66aZamWeqzB0qGmp5ldo7S2u4ykmK6mpJ56uq2MpKCtrZljtbW5yw%3D%3D